Siku ya kimataifa ya watu wa asili, haki ya elimu yasisitizwa
Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Watu wa Asili, Katibu Mkuu wa Umoja wa
Mataifa, Ban Ki-moon, amezitolea wito ziboreshe upatikanaji wa elimu kwa watu
wa jamii za asili, pamoja na kujumuisha uzoefu na utamaduni wao kunakotolewa
elimu.
Katika mahojiano na idhaa hii, Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya wafugaji na
maendeleo Tanzania PIDO Martha Ntoipo amesema jamii ya watu wa asili inapaswa
kuzidisha jitihada za elimu vinginevyo itaachawa nyuma katika maendeleo.
Bi Ntoipo anaeleza kile ambacho shirika lake limekifanya katika kuadhimisha siku hii
Bi Ntoipo anaeleza kile ambacho shirika lake limekifanya katika kuadhimisha siku hii

Comments
Post a Comment