DINI YAELEZWA KUWA KICHOCHEO CHA KUTIMIZA SDGS



Taasisi za kidini zina nafasi timilifu katika kuchangia utekelezaji wa malengo ya maendeleo  endelevu SDGs na katika kuhakikisha utulivu miongoni mwa jamii amesema mmoja wa washiriki katika mkutano  kuhusu muingiliano wa imani na maendeleo.

Katika mahojiano maaluma na idhaa hii Sarah Mduma kutoka shirika la kikatoliki Grail Tanzania amesema taasisi za dini zinaweza kupandikiza mbegu ya chachu ya kuwezesha utekelezaji wa SDGs.

Comments

Popular posts from this blog

VYOMBO VYA HABARI VINAWAJIBU WA KUELIMISHA JUU YA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU

7 hatua kuelekea maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030