Rais Kenyatta asifu ajenda 2030, ataka maono ya pamoja kuifanikisha

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema tangu kupitshwa kwa malengo ya milenia mwongo mmoja na nusu, kumekuwepo na mafaniko mengi, japo changamoto sio haba.
Rais Kenyatta amesema hayo wakati wa hotuba yake kwa Baraza Kuu la Sabini la Umoja wa Mataifa.
Akitolea mfano maendeleo yaliyopatikana baada ya kupitishwa kwa malengo ya milenia, Rais Kenyatta amesema viwango vya mapato vya watu vimeongezeka huku idadi ya watu wanaoishi katika hali ya umaskini uliokithiri pamoja na vifo vya watoto wenye umri wa chini ya mwaka mmoja imepungua maradufu.
Akipigia upato mafanikio nchini Kenya, Rais Kenyatta amesema..

Comments

Popular posts from this blog

VYOMBO VYA HABARI VINAWAJIBU WA KUELIMISHA JUU YA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU

DINI YAELEZWA KUWA KICHOCHEO CHA KUTIMIZA SDGS

7 hatua kuelekea maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030