Zimbabwe imeharamisha ndoa za kitamaduni za watoto

Mahakama ya kikatiba nchini Zimbabwe imeharamisha ndoa za kitamaduni za watoto, ikisema kuwa watu walio chini ya umri wa miaka 18 hawaruhusiwi kuoa au kuolewa.

Watoto wamekuwa wakilazimishwa kwa ndoa za mapema kwa misingi ya kidini sehemu kadha za zimbabwe.
Serikali inasema kuwa asilimia 31 ya wasichana huolewa wakiwa chini ya miaka 18 licha ya hilo kuwa kinyume na katiba iliyotekelezwa mwaka 2013.

Comments

Popular posts from this blog

VYOMBO VYA HABARI VINAWAJIBU WA KUELIMISHA JUU YA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU

DINI YAELEZWA KUWA KICHOCHEO CHA KUTIMIZA SDGS

7 hatua kuelekea maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030