wizara ya mambo ya nje nchini Tanzania imekanusha taarifa
wizara ya mambo ya nje nchini
Tanzania imekanusha taarifa kwamba Rais John Magufuli amepiga marufuku
uvaaji wa sketi fupi maarufu kama vimini.
Taarifa ya Wizara hiyo imesema: "Ni kweli kwamba Rais Magufuli
na Serikali yake wanaunga mkono uvaaji wa nguo za staha, lakini taarifa
kwamba Rais Magufuli amepiga marufuku uvaaji wa sketi hizo fupi si za
kweli.”
Tangu Jumatatu wiki hii, mitandao ya kijamii ilirindima na taarifa kwamba Rais Magufuli ametangaza marufuku hiyo.
Tangu Jumatatu wiki hii, mitandao ya kijamii ilirindima na taarifa kwamba Rais Magufuli ametangaza marufuku hiyo.

Comments
Post a Comment