Elimu kuhusu SDGs yabisha hodi sekondari Ihungo
Harakati hizo zinaendeshwa na kituo cha kituo cha habari cha Umoja huo ambapo wiki hii kimefika shule ya sekondari ya wavulana ya Ihungo mkoani Kagera na kuelezea malengo hayo kupitia chama cha Umoja wa Mataifa, UNA tawi la shule hiyo.
Joseph Lucian ni mratibu wa UNA shule ya sekondari Ihungo anafafanua manufaa waliyopata hadi sasa..

Comments
Post a Comment