Elimu duniani iende sambamba na ajenda ya maendeleo 2030: UNESCO

Mjadala wa kamisheni ya elimu ya shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni, umekamilika mjini Paris Ufaransa  ambapo wawakilishi wa nchi mbalimbali wanakutana katika mkutano mkuu wa UNESCO kujadili masuala mbalimbali yanayoratibiwa na shirika hilo.

Kaimu Katibu mkuu wa tume ya Unesco nchini Tanzania Dkt. Moshi Kimizi anayehudhuria mkutano huo ameieleza idhaa hii katika mahojiano maalum kuwa kamisheni ya elimu imeweka malengo mkakati yanayojikita katika ajenda 2030 kwa kutoa elimu itakayopambana na umasikini, njaa na…

Comments

Popular posts from this blog

VYOMBO VYA HABARI VINAWAJIBU WA KUELIMISHA JUU YA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU

DINI YAELEZWA KUWA KICHOCHEO CHA KUTIMIZA SDGS

7 hatua kuelekea maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030